Feeds:
Posts
Comments

Archive for November, 2007

Ijumaa ijayo tarehe 30, Bendi ya Kitoto itatumbuiza kadamnasi katika holi kubwa la Hamersmith City Hall, Magharibi ya London. Sherehe hiyo iliyotayarishwa na Tukolene (www.tukolene.org) inatazamia kukusanya fedha kusaidia watoto wa Temeke,Tanzania.
Wataanzilishi wa Tukolene ni wanawake wawili wa Kiingereza, Katie Martin na mwenzake Phoebe. Wanasema waliamua kuanzisha kasr hii baada ya kuhusudu sana Tanzania ambapo wamekuwa [...]

Read Full Post »

Read Full Post »

Nawahusudu mashujaa, hasa kutoka Bongo. Nchi yetu inahitaji mashujaa. Inahitaji watu wenye roho nzuri, mawazo mapana na mioyo ya mawe. WATU WANAOJARIBU MAMBO. Nchi hii inayoliwa na kuhangaika hangaika. Lazima waandishi na wanahabari tuwape moyo mashujaa. Wengi hufanya mambo bila kutaka ushujaa. Wengi sana wala hawajulikani. Baadhi wala hawatakaa wajulikane. Ama kamsaidia mtu, ama katoa nafasi [...]

Read Full Post »