Jumapili tarehe 16 Desemba. Jioni.
Wazalendo kumi na moja toka Afrika Mashariki walijitolea mhanga toka vitongoji kadhaa vya London kuchangia mawazo katika kikao kilichopitisha katiba ya Jumuiya yenye lengo la kusaidia maendeleo nyumbani. Jumuiya hiyo itakayoitwa East African Community Networking Association (EACNA) inategemewa kusajiliwa karibuni. Mara ikishasajiliwa tovuti yake rasmi itatangazwa. Bado jumuiya inatafuta uanachama wa Wabongo [...]
Archive for December, 2007
Picha mbalimbali toka Kikao kilichopitisha katiba ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki London
Posted in Uncategorized, tagged Business, Development, East Africa, Maendeleo, Networking, People, Ushirika on December 21, 2007 | 1 Comment »
Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki London Jumapili hii
Posted in Uncategorized on December 19, 2007 | 1 Comment »
Jumapili tarehe 16 jioni mkutano wa wanakamati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki London ulifanyika kwa zaidi ya masaa Sita kuzungumzia katiba, usajili na kuangalia tovuti ya Jumuiya itakayokuwa hewani mara baada ya usajili. Mkutano huo uliofanyika eneo la Mitchum, kusini ya jiji, ulimchagua bwana John Bunyeshuli, mwanzilishi wake, kutoka Rwanda kama mwenyekiti. Ulichagua pia wajumbe mbalimbali wa wadhifa kadhaa (tazama [...]
Dada wa Kizungu aliyeazimia kusaidia elimu ya Watoto Bongo…
Posted in Uncategorized, tagged Charity, Dar es Salaam, Kiota, Tanzania, Tukolene, Women on December 8, 2007 | 2 Comments »
Mwaka 2002.
Katie Martin akiwa bado mwanafunzi wa miaka 18; akifundisha Kiingereza , Tukolene, Chang’ombe. Miaka mitano baadaye ndiye aliyebunia suala la kutafuta fedha za kuwaendeleza vijana hawa . Sherehe ya Ijumaa Novemba 30, katika ukumbi wa Hammersmith Town Hall, London, ilikuwa jitihada zake na mwenzake, Phoebe Bryant, aliyempiga picha hii.
Nilipowauliza kama wanaamini misaada ya [...]
Picha za Tafrija ya Kutafuta Fedha kwa Watoto Chang’ombe, London
Posted in Uncategorized on December 8, 2007 | Leave a Comment »
Kina dada wa shirika la fadhila la Kiota na Marafiki wa Tukolene wakiwa jukwaani wakati wa tafrija London, Novemba 30, iliyomudu kupata paundi 14,000 kusaidia maendeleo Afrika. Toka kushoto Vikki Ommanney, Phoebe Bryant, Katie Martin, Nicki Sumner, Pippa Brown, Ericka Hicks aliyekatwa katika picha haonekani. (Picha na Lewis Hicks)
Wanafunzi wa Kituo cha Vijana Tukolene, Chang’ombe ambao watafaidika [...]