Feeds:
Posts
Comments

Archive for August, 2008

Kila siku Wabongo mbalimbali wanaingia mitamboni. Lakini waandishi wa kizazi  cha kale, cha kijadi, wataalamu waliotopea katika kalamu, fasihi, mawazo na falsafa, ni wachache wanaojivuta na Mablogu. Mmoja wa Wataalamu na Wasomi wa Tanzania wanaofundisha na wanaostahili kusikilizwa ni Ndugu  Joseph Mbele anayefundisha katika vyuo mbalimbali vya Marekani. Ninamfahamu na kumsoma Joseph Mbele toka akisoma Chuo [...]

Read Full Post »

 
 
Mariam ( wa  chama cha Akina mama Tanzania London- TAWA) ; Elizabeth Kawogo (ambaye hakutaka sura yake ionyeshwe) na mshikaji  wenu; tukiwa pamoja jana London. (Picha imepigwa na dadake Mariam).
Kisa cha kusikitisha na kuudhi sana.
Katika karne hii ambayo tunaambiwa Watanzania tuko huru toka mwaka 1961…bado kuna utumwa. Ilianzia mwaka 2004 Elizabeth Kawogo akifanya kazi ya usafi kwa Mhindi [...]

Read Full Post »

Zamani nikidhani sisi wamatumbi ndiyo mabingwa wa kukatika viuno. Lakini  miaka inavyokwenda ndivyo nazidi kuona  baadhi ya tabia na desturi nyingi zetu zikidakwa, zikiigwa na wenzetu wa mataifa mengine. Kumbe pia si tu kuigana, tamaduni nyingine pia zina mikatiko. Kifupi, kuna viuno aina nyingi.
Ipo chakacha, ambayo asilia  ni ngoma ya mama mzazi kurekebisha tumbo la uzazi, kutoa unene, halafu kuna [...]

Read Full Post »