Feeds:
Posts
Comments

Archive for November, 2008

Mwezi Novemba mwaka huu ulikuwa wa kheri na baraka kwa jina la Tanzania nchi za nje. Badala ya mabaya kuongelewa (mathalani mauaji ya Ma-albino) au mazuri (Amani ukilinganisha na Waafrika wenzetu) kutoongelewa; tukaWIKA KIJOGOO. Kidesturi, kihistoria na kifani, Tanzania haitangazwi ughaibuni; kwa walioshasafiri safiri mnafahamu (na kujionea) vipi bado wanatuita Tasmania au Kenya; hatujulikani. 
Kwa siku nne lakini ; [...]

Read Full Post »