Feeds:
Posts
Comments

Archive for January, 2009

 

Si wanamuziki wengi wanaoishi ughaibuni toka Bongo.  Miaka mingi hata hivyo  amekuwepo mtunzi na mwimbaji, Fab Moses ,  CD na shoo yake inayoitwa NENGUA.
Mtazame katika tovuti  ya My Space:
http://vids.myspace.com/index.cfm?fuseaction=vids.individual&VideoID=42998197
Mbali na nyimbo zake mathalani: “Ngunguri Ngangari” na “Nyerere” , Fab Moses huonekana katika majukwaa kadhaa ya London akitungua nyimbo mbalimbali za Kiswahili na bendi mashuhuri ya Afrika Jambo.  Bendi hii [...]

Read Full Post »