Si wanamuziki wengi wanaoishi ughaibuni toka Bongo. Miaka mingi hata hivyo amekuwepo mtunzi na mwimbaji, Fab Moses , CD na shoo yake inayoitwa NENGUA.
Mtazame katika tovuti ya My Space:
http://vids.myspace.com/index.cfm?fuseaction=vids.individual&VideoID=42998197
Mbali na nyimbo zake mathalani: “Ngunguri Ngangari” na “Nyerere” , Fab Moses huonekana katika majukwaa kadhaa ya London akitungua nyimbo mbalimbali za Kiswahili na bendi mashuhuri ya Afrika Jambo. Bendi hii [...]