Feeds:
Posts
Comments

Archive for April, 2009

“ELIMU HAINA MWISHO…”
Methali ya Kiswahili
 Nchi yetu ina utata.
Mheshimiwa Rais kachorwa vibaya mitandaoni; miezi kadhaa iliyopita akazomewa ilhali kachaguliwa kwa asilimia 80 ya kura; Rais wa zamani, bwana Mwinyi akapigwa kofi hadharani; ajali za mabasi zimezidi,uvutaji bangi (hasa miongoni mwa vijana) umefikia asilimia 90 sehemu fulani fulani; viongozi mafisadi mahakamani; utovu wa nidhamu unaiandama nchi [...]

Read Full Post »

JJ Otieno akiwa kazini Brixton, London, 2007 (picha na F. Macha)
 
Kwa miaka lukuki Waafrika tumeonyeshwa ovyo ovyo sana katika runinga na vyombo vya habari duniani. Mtazamo ulioenea ni kuwa tunakufa njaa, tunapigana wenyewe kwa wenyewe na taswira iliyozoeleka ni ya watoto wenye mainzi machoni, wanawake wenye matiti yaliyoanguka wanaobeba magunia, kina baba wanaotembea miguu mitupu, majeshi na [...]

Read Full Post »

MAHOJIANO NA DK. IMANI KYARUZI- Mwandishi wa “Mbinu za Ujasiriamali”

Dk Imani Kyaruzi akiwa na bi. Susan Mzee, katibu wa Chama cha Watanzania Uingereza, katika uzinduzi wa kitabu, Birmingham, Oktoba 2008

Mwaka jana mmoja wa wataalamu na wasomi wetu anayeishi Uingereza Dk. Imani Silver Kyaruzi alitoa kitabu moto moto “Mbinu za Ujasiriamali” kitakachosaidia sana uchumi [...]

Read Full Post »