Nasibu Mwanukuzi au anavyojulikana kwa jina la kisanii, Ras Nas…katoka na kibao ambacho pia ni jina la Albam yake ya pili kinachoutukuza na kuughani mji wa Dar es Salaam karibuni.
Moja ya magazeti makubwa nchini humo: Dagsavisen liliipa albam hiyo nyota tano. Nyota tano si mchezo kwa mwanamuziki wa Kiafrika anayetumbuiza Uzunguni.
Niliwahi kufanya kazi na Nasibu Mwanukuzi [...]
Archive for August, 2009
Wimbo wa “Dar es Salaam” unaotingisha Majuu (Skandinavia)
Posted in Uncategorized, tagged Tanzania, Dar es Salaam, Swahili, Bongoland, Ras Nas, Nasibu Mwanukuzi, East African musicians, Norway, Oslo, Dagsavisen, Sayari, Music, Scandinavia, Kongoi Productions on August 28, 2009 | Leave a Comment »