Feeds:
Posts
Comments

Archive for September, 2009

Arusi za Waafrika Majuu huwa zina ugumu na urahisi wake.
Ugumu?
Mwafrika kuwa mbali na jamii na jamaa zake; akibahatika kupata wahudhuriaji wachache basi humshukuru Mungu. Ugenini ni ugenini tu…
Urahisi?
Ile furaha isiyopatikana kirahisi kutokana na kuishi ughaibuni  kama mgeni, huvimba, ikanepa na kuringa : raha ya kufanya kitendo maalum.
Karibuni nimehudhuria arusi mbili kem kem. Mosi,  ya  dada [...]

Read Full Post »

RAS NAS  ZIARANI NORWAY 2009
Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya rege na muziki wa dansi mwenye makao  Oslo, Norway, Ras Nas ( Nasibu Mwanukuzi),  anapanga safu kali kwa ajili ya ziara ya miji sita Norway. Ziara hiyo itakayoanza Kongsberg tarehe 23 Oktoba itamalizikia jijini Trondheim 7 Desemba.

Kikosi cha Ras Nas kinachanganya wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory [...]

Read Full Post »

Mjadala aliopopoa Maggid ” Mwenyekiti”  Mjengwa (pichani, kulia, alipohudhuria semina zangu,  Dar, Mei)  blogu ya Kwanza Jamii umezua maoni kem kem.  Ni mjadala muhimu kwa sababu kadhaa:
1-Zamani Mwalimu Nyerere alisisitiza sana juu ya utaifa ndiyo maana akashauri sote tuongee Kiswahili. Hii imechangia sana kutokuwa na kero za ukabila Tanzania kama zilivyo nchi nyingi bara Afrika. [...]

Read Full Post »