Arusi za Waafrika Majuu huwa zina ugumu na urahisi wake.
Ugumu?
Mwafrika kuwa mbali na jamii na jamaa zake; akibahatika kupata wahudhuriaji wachache basi humshukuru Mungu. Ugenini ni ugenini tu…
Urahisi?
Ile furaha isiyopatikana kirahisi kutokana na kuishi ughaibuni kama mgeni, huvimba, ikanepa na kuringa : raha ya kufanya kitendo maalum.
Karibuni nimehudhuria arusi mbili kem kem. Mosi, ya dada [...]
Archive for September, 2009
ARUSI MAJUU…
Posted in Uncategorized, tagged Arusi, Kenya, London, Maisha, Tom Chiwalala, Ughaibuni, Ujerumani on September 19, 2009 | 1 Comment »
MPYA ZA MUZIKI UGHAIBUNI
Posted in Uncategorized, tagged Nasibu Mwanukuzi, Norway, Olso, Ras Nas, Reggae, Swahili Music, Tanzania on September 16, 2009 | Leave a Comment »
RAS NAS ZIARANI NORWAY 2009
Mwanamuziki mkongwe wa miondoko ya rege na muziki wa dansi mwenye makao Oslo, Norway, Ras Nas ( Nasibu Mwanukuzi), anapanga safu kali kwa ajili ya ziara ya miji sita Norway. Ziara hiyo itakayoanza Kongsberg tarehe 23 Oktoba itamalizikia jijini Trondheim 7 Desemba.
Kikosi cha Ras Nas kinachanganya wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory [...]
MJADALA WA MJENGWA KUHUSU “UTANZANIA”
Posted in Uncategorized, tagged Bongoland, Identity, Kiingereza, Kiswahili, Kujitambua, Kujitegemea, Kwanza Jamii, Language, Lugha, Maggid Mjengwa, Tanzania, Utamaduni, Wee Nani on September 16, 2009 | Leave a Comment »
Mjadala aliopopoa Maggid ” Mwenyekiti” Mjengwa (pichani, kulia, alipohudhuria semina zangu, Dar, Mei) blogu ya Kwanza Jamii umezua maoni kem kem. Ni mjadala muhimu kwa sababu kadhaa:
1-Zamani Mwalimu Nyerere alisisitiza sana juu ya utaifa ndiyo maana akashauri sote tuongee Kiswahili. Hii imechangia sana kutokuwa na kero za ukabila Tanzania kama zilivyo nchi nyingi bara Afrika. [...]