Ijumaa tarehe 30 Mei, London.
Ukumbi wa hoteli iliyoko kitongoji cha Hackney, kaskazini ya London ulishuhudia usiku wa muziki, chakula na vinywaji.
Kila aliyeingia hapa alifahamu alichokijia. Hakukuwa na hotuba wala kelele nyingi. Mabango yaliyopitishwa miezi kadhaa yaliibeba bendera ya Tanzania na wito wa “NYIMBO KWA DADA ZETU”…matangazo yalienezwa sehemu mbalimbali London na mtandaoni. Wapenzi wa Tanzania weupe kwa weusi waliitikia wito.
(more…)