Feeds:
Posts
Comments

Posts Tagged ‘Mrs Caroline Chipeta’

WAZIRI NA WENZAKE WASISITIZA HAJA YA WALOWEZI KUCHANGIA MAENDELEO BONGO
Imeandaliwa kwa ushirikiano wa Urban Pulse na Freddy Macha

Watanzania waliokuwepo wakichangamkia maongezi

Watanzania wakazi Uingereza wamehakikishiwa kuwa taaluma na uzoefu wao ughaibuni vitasaidiwa na vyombo husika vya serikali wakirejea na zana, mbinu na uwekezaji wa kilimo.
Kauli hii ilitolewa na msafara mzima wa viongozi uliofuatana na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza alipokutana na Watanzania Ubalozini, London , Jumatano iliyopita.
Mininster Eng Chiza speaks at TZ Embassy UK-pic by Urban Pulse
Waziri Chiza alisema akiwa mtoto wali uliliwa siku za sikukuu tu. Leo mengine. Mchele unapandwa zaidi na bado hautoshi.

(more…)

Read Full Post »