Feeds:
Posts
Comments

Posts Tagged ‘Uchaguzi Uingereza’

Picha na Habari za Freddy Macha

Hatimaye Watanzania Uingereza tumewachagua viongozi wa Jumuiya yetu ( Association of Tanzanians UK) yaani ATUK. Juni 2018 mkutano mkuu ulifanyika mjini Reading kufukuzia zoezi hili chini ya ulezi wa Balozi Mheshimiwa Asha Rose Migiro.
Mchecheto ulifukuzwa na wengi ila aliyewasha kiberiti alikuwa Joseph Warioba.
Baada ya mwaka, siku nzima ya Mtanzania, Jumapili 30 Juni , 2019, ilitayarishwa na wanakamati wa ATUK – ambao baadhi walikuja kuwa viongozi wa Jumuiya. Hapa inaonyesha namna juhudi za Balozi kutuunganisha zilivyoambatanika na ari na hamasa za Watanzania.
(more…)

Read Full Post »