Angali kijana wa miaka 19, Abdilatif Abdalla alishiriki “harakati za kisirisiri” kupinga uongozi wa Rais Jomo Kenyatta, Kenya. Uongozi huo anaeleza leo, ulimnyima uhuru raia wa kawaida nchini humo (baada ya miaka mitatu tu ya utawala) uliopatikana Desemba 1963. Abdilatif alikuwa mwanachama wa chama cha upinzani, Kenya Peoples Union (KPU) kilichoongozwa na Jaramogi Oginga Odinga. Mchango wake mkuu ulikuwa kuandika. Alipofikisha makala ya saba iliyouliza “Kenya Twendapi?” alifungwa.
(more…)
Posts Tagged ‘Swahili Writers’
NILIPOKUNYWA CHAI NA MWANAHARAKATI WA KISWAHILI-ABDILATIF ABDALLA
Posted in Uncategorized, tagged Abdilatif Abdalla, Kenyan Writers, Kimvita, Kiswanglish, Lahaja za Kiswahili, Mohammed Said, Ngugi wa Thiong'o, Sauti ya Dhiki, Swahili Hub, Swahili Writers, TUKI, Waandishi Kenya, Waandishi wa Kiswahili on December 17, 2013| 1 Comment »