https://www.youtube.com/channel/UCtVEe3zlUtuF6pTbn_OK8JQ/featured
1.
Mabango ya maonesho ya starehe na muziki mitaani London yamekuwa yakitangaza tamasha kubwa la kimataifa- Africa Uni Fest -uwanja maarufu wa Wembley Jumamosi 24 Agosti, 2019. Muziki huu wa kizazi kipya una mwakilishi kutoka Tanzania, Diamond Platnumz.